Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika (CAF) limetangaza washindi wa vipengele mbalimbali vya Tuzo za msimu wa mwaka 2023 zikihusisha vilabu na timu za Taifa ambapo ikumbukwe kuwa walitangaza vipengele mbalimbali vinavyowaniwa katika Tuzo hizo.

Wafuatao ni washindi katika vipengele mbalimbali vya Tuzo hizo:

 a) Klabu Bora Ya Mwaka

Wanaume : AL AHLY Kutoka nchini Misri

Wanawake : MAMELODI SUNDOWNS Kutoka nchini Afrika Kusini.

 b)Mchezaji Bora Ligi Ya Ndani

Wanaume : Percy Tau Kutoka AL AHLY

Wanawake: Fatima Tagnout Kutoka AS FAR RABAT

  c)Mchezaji Bora Chipukizi

Wanaume : Lamine Camara Kutoka Senegal

Wanawake : Nesryne El Chad Kutoka Morocco

 d)Timu Bora Ya Mwaka

Wanaume : Morocco

Wanawake: Nigeria

e) Goli Bora La Mwaka tuzo imeenda kwa Mahmoud Kahraba

  f) Golikipa Bora Wa Mwaka 

Wanaume : Yassine Bounou Kutoka Morocco

Wanawake : Chiamaka Nnadozie Kutoka Nigeria

 g)Kocha Bora wa Mwaka

Wanaume: Walid Regrarui Kutoka Morocco.

Wanawake: Desiree Ellis Kutoka Afrika Kusini.

h) Mchezaji Bora Wa Mwaka

Wanaume: Victor Osimhen Kutoka Nigeria na Napoli

Wanawake: Asisat Oshoala Kutoka Nigeria Na Barcelona

Kwa taarifa mbalimbali za michezo na makala endelea kuzisoma kwa kugusa hapa.

 

1 Comment

  1. Pingback: VICTOR OSIMHEN Mchezaji Bora Afrika. - Kijiweni

Leave A Reply


Exit mobile version