Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: Stori Mpya
Ilipoishia “Akavua Mask yake kisha akaanza kufwatilia nyendo za Muhonzi, alimchunguza kwa siri hadi Muhonzi alipoutikisa mlango na kuufungua kwa wepesi sana kisha akatokea upande wa…
Soka la bara la Afrika limeanza kupiga hatua limeanza kukuwa sana kuanzia ndani ya uwanja mpaka nje ya uwanja, kwa sasa vilabu vingi vilivyoonekana vya kati…
Ilipoishia ” Kwa kujiamini akasimama na kumvuta Bligedia kwa mbwembwe kisha akampa neno kwa sauti ya kuchombeza “Tuma Askari hapo sasa hivi” alisema kisha aliachia tabasamu,…
Baada ya kuwatoa Vital’O ya Burundi kwa jumla ya mabao 10:0 klabu ya Yanga itakutana na mabingwa wa msimu uliopita 2023/2024 wa Ligi kuu ya Ethiopia…
Ilipoishia “Mithiri ya Umeme uwashwapo, ndivyo fahamu za Benjamin zilivyorudi huku mapigo ya Moyo wake yakiwa yanaenda mbio sana, zaidi ya siku nzima alikua kwenye Usingizi…
Ilipoishia “Gari ndogo iliyombeba Muhonzi iliwasili ndani ya godauni moja, akashuhswa na kuburuzwa hadi ndani ya Chumba kimoja kilicho kitupu, akamwagiwa Maji ili azinduke. Maji yalimzindua…
Wakati huu ambapo kuna maendeleo ya Sayansi na Teknolojia kumekuwa na upatikanaji wa habari mbalimbali kwa urahisi na uharaka sana na kumepelekea kuwa na uhuru zaidi…
Ilipoishia “Madam tumeshafika” ilikua ni sauti iliyomzindua Elizabeth ķutoka katika fikra nzito ya namna alivyokutana na Mke wa Rais hadi kupanga njama za wizi ndani ya…
Anaandika mwana mitandao maarufu Tanzania anayefahamika kama Ujugu Hapa Nataka twende taratibu ili tuelewane. Mdogo mdogo mpaka mwisho. Kama unajijua una mihemko, usisome hili andiko, HALIKUHUSU!…
Moja ya njia bora ya kutaka mafanikio ni kukubali kukuwa, kukubali kubadilika na kuongeza juhudi na wakati mwingine kukubali kuiga mazuri yaliyofanywa na wengine waliyojuu yako…