Browsing: Stori Mpya

Pigo Takatifu

Ilipoishia “Kwahiyo umeanza kua na huruma si ndiyo? Basi hakuna sababu  ya kujificha, jitokeze hadharani ujitangaze kua Bilionea  mwenye Mtoto Mlemavu, si una shida sana ya…

Pigo Takatifu

Ilipoishia “Asante Yesu” Mikono yake ikiwa juu, Mchungaji akaja na  kumwinua  “Matilda, kanisa linakuhitaji useme neno” Mchungaji George  alimsogeza Matilda hadi Madhabauni, akampa kipaza sauti.  Aseme…

Pigo Takatifu

Ilipoishia “James!! tumepima DNA na majibu unayajua kua Patra ni Mtoto  wako, kwanini damu yako unaiacha iteseke kisa ulemavu?”  alisema Matilda, alipigwa kofi hadi waliokua karibu …

Pigo Takatifu

Ilipoishia  “James una hakika kuwa hii ni Mimba yako?” Lilikua ni swali  aliloulizwa James, walikuwa chemba na Mama yake wakimuacha  Neema akiwa sebleni  “Ndiyo Mama kwanini…

Pigo Takatifu

“Ahsante Mama Naomi” Ilikuwa ni sauti yenye upole, Matilda  alikuwa akimwambia Mama Naomi huku chozi likimlenga  “Usijali Mdogo wangu Maisha ndivyo yalivyo, ni wajibu wangu  kukusaidia”…

MSALA

Ilipoishia “Benjamin yuko nje anatusubiria” kabla hata hajamaliza kusema alichokua amekikusudia,  zikasikika buti mlangoni, kisha Sauti ya risasi ikasikika, damu ikamwagika ikapenya chini ya  Mlango. Malkia…

MSALA

Ilipoishia “Benjamin akamsogelea Malkia Zandawe na kumtuliza kwa kumshika bega, hata yule rubani  wa Helkopta ya Kijeshi aliona wazi kua Binti huyo alikua akizungumza kwa hisia…

MSALA

Ilipoishia “Muhonzi akafanikiwa kukata kamba alivyofungwa, giza lilikua nene ndani ya Chumba  alichohifadhiwa, akajaribu kuchungulia dirishani kwa mtindo wa kuruka sababu dirisha  lilikua juu sana lakini…

MSALA

Ilipoishia “Sijapata kumwona Mwanadamu Mbishi na Mgumu kama huyu” aliutupa mkono wake  uliojaa damu kwa hasira sana kisha akarudi kuketi kitini akitafakari ni namna gani afanye…

MSALA

Ilipoishia “Mfukuzano ulikua mkali kwa hatua kadhaa, kisha ghafla yule Mwanaume alisimama,  aligeuka kisha aliliweka lile Brifkesi chini, akatabasamu na kumwambia Elizabeth  “Najua umekuja kwa ajili…