Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: Ligi Kuu | Soka la Bongo
Baada ya tetesi kuvuma kuwa Kocha mkuu wa klabu ya Simba Abdelhak Benchikha ataondoka mwishoni mwa msimu kumekua na maswali mengi kwa wadau kuhusu tutegmee Simba…
Serikali ya Tanzania imeingia mkataba na kampuni ya ukandarasi kutoka China kukarabati uwanja wa Uhuru uliopo Dar es salaam kwa gharama ya shilingi bilioni 19.7. Ukarabati…
Mambo vipi mwana KIJIWENI bila shaka uko poa kabisa. Leo nina mjadala mdogo tu ambao nadhani inapaswa tujadiliane hapa na ninachotaka kusema ni kuwa kuna mastaa…
Mechi nzuri iliyoathiriwa na hali ya uwanja kwa kiasi fulani kizuri ni kuwa timu zote zilicheza hapo hapo na level ya uhitaji wa matokeo ilikuwa kubwa…
August 3 Mwaka 2018 Young Africans iliachana na jumla ya wachezaji 14 kisha wakabaki na majina ya wachezaji wasiozidi 17 ndani ya kikosi chao ambao, katika…
Mpira wa miguu ni mchezo wa hisia sana kwani ni moyo ndio huzungumza kuliko hata mdomo lakini kubwa tunalopaswa kufahamu ni kuwa palipo na hisia kubwa…
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu kiasi kuizungumzia klabu ya Simba moj kati ya mashabiki wakubwa na mbunge Hamisi Kigwangalla ameibuka na waraka mzito kuhusiana…
Kama kawaida yangu Mhariri nimepitapita pita katika mitandao ya kijamii na kukutana na chapisho ambalo ameandika mchambuzi wa soka kutoka hapa nchini Tanzania anayefahamika kama Presenter…
Namna timu zote mbili yaani Yanga pamoja na Simba zilivyoingia uwanjani na kucheza ni jambo ambalo wengi walitarajia na imetokea hivyo na tofauti ya mchezo wao…
Moja ya mchezo mkubwa sana nchini mchezo ambao umekuwa ukiteka hisia kali za watu wengi huku ukiwa unafatiliwa ndani na nje ya nchi ya Tanzania, Mchezo…