Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: Ligi Kuu | Soka la Bongo
Tuko katika kipindi ambacho ligi mbalimbali duniani zinaelekea ukingoni huku zipo ligi ambazo mabingwa tayari wamekwishajulikana lakini zipo ligi ambazo mabingwa bado hawajajulikana na ndio kipindi…
Pamba Jiji Football Club kurejea kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya Miaka 23 ni fursa kubwa sana katika sehemu tofauti ndani ya Jiji la…
Mchezo wa 25 kwa kila timu ukiwa ni mchezo wa ambao ni muhimu kwa timu zote mmoja akihitaji kushinda kujihakikishia ubingwa wa Ligi kuu ya NBC…
Kibu Denis Prosper ndio ajenda iliyopo mezani kwa sasa na Tanzania nzima ipo mezani kujadili mada hii! Kwanza sipo hapa kuzungumza kuhusu Takwimu za Mchezaji wala…
Moja Ya mchezo wenye mvuto ndani yake kwani mchezo huo unakutanisha timu mbili tofauti zenye presha mbili tofauti kwani Simba SC anataka kumaliza nafasi Ya pili…
Wengi wamekua wakiamini kuwa ni kama imekuwa kama dharau kwa mzawa kocha Juma Mgunda kila timu inapopoteana (mwendelezo mbovu) na makocha wa kigeni kutimuliwa au kuondoka…
Mimi naomba nitofautiane kidogo na wadau wengi wa Kijiweni hasahasa mashabiki wa timu hizi kubwa yaani Yanga pamoja mashabiki wa Simba ambao wanadai Fredy Koublan ni…
Nikiwa kama mdau wa michezo hasa Mpira wa Miguu, nashauri Serikali kufanya haya ili kuboresha kiwango cha mpira nchini, na hata ushiriki wetu kwenye mashindano yajayo…
Viongozi wa Simba wanajiroga wenyewe na kujitega kwenye mtego mbaya kwa mashabiki wao kwani ukitazama tu mtiririko wa namna ambavyo kumekua na mabadiliko ya makocha ndani…
Moja Ya muhimili mkubwa sana kwenye timu ni Uongozi imara wa timu husika lakini mafanikio yote Ya timu yanabebwa na muhimili muhimu kikosini ambapo msingi huo…