Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: Ligi Kuu | Soka la Bongo
Simba SC na Young Africans SC, wapinzani wa jiji, walikuwa wameshajihakikishia kufuzu kwenye makundi ya CAF na kucheza mechi zao za mwisho kwa heshima ya klabu…
Licha ya kuwa na kibarua kizito cha hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Kocha wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ ameanza kupiga hesabu za…
Kutokana na mtifuano ulivyo baina ya Kitayosce na Pamba katika vita ya kupanda ligi kuu, huenda mikoa ya timu hizo ikakata kiu ya kuziona tena Simba…
Safari ya kikosi cha Yanga ikielekea jijini Lubumbashi iliingia dosari baada ya kukwama Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa takribani masaa 12. Yanga…
KWA SASA Yanga inahitaji pointi zote sita dhidi ya TP Mazembe katika mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuondoka na wachezaji wote wa kikosi…
Katika Dirisha kubwa la usajili lililopita winga Jesus Moloko alikua na hatihati kutemwa kikosini lakini kiwango chake mahiri alichokionyesha baada ya hapo akafanikiwa kubadili mawazo ya…
Kutokana na majeraha ya nyonga yaliyomuweka nje kwa kipindi cha miezi miwili, winga machachari wa Yanga, Mghana Bernard Morrison sasa yupo tayari kuitumikia klabu yake ya…
Simba SC imerejea mazoezini kuanza kujifua kwa ajili ya mechi ya mwisho ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika ugenini Morocco dhidi ya Raja Casablanca, itakayopigwa April…
Kocha Mkuu wa Timu ya Young Africans S.C (Yanga), Almaarufu kama Professa, Nasreddine Nabi amefunga Safari Kuelekea Ubelgiji katika mapumziko haya ya Siku chache Kupisha Mechi…
Hakika Siku Imewadia! Timu ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’, Leo Machi 24, 2023 itashuka dimbani Kuwakabili Timu ya Taifa ya Uganda, ‘The Cranes’ ambao utapigwa…