Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: Ligi Kuu | Soka la Bongo
Daktari Mkuu wa Simba, Edwin Kagabo ameshusha presha kwa mashabiki wa timu hiyo kuhusiana na hali ya kipa, Aishi Manula aliyeko nchini Afrika Kusini kwa ajili…
Mshambuliaji kinda wa Azam FC, Abdul Sopu amesema kwa sasa wao kama wachezaji wanafanya maandalizi ya kumaliza msimu kwa kushinda mechi zilizosalia huku akimweka kiporo kipa…
Mchezaji wa Young Africans, Feisal Salum anayejulikana kwa jina la ‘Feitoto’, ameelezea “madhara na matusi” kuwa baadhi ya sababu zilizomfanya atamani kuvunja mkataba na klabu ya…
Zilikuwepo taarifa za straika wa Simba, Moses Phiri kutaka kusepa kutokana na kushindwa kupata nafasi kikosi cha kwanza baada ya kutoka kuuguza majeraha, upepo umebadilika staa…
Baada ya Singida Big Stars kujihakikisha nafasi ya kucheza michuano ya kimataifa kwa msimu ujao, tayari mabosi wa timu hiyo wako kwenye mazungumzo na kiungo wa…
Simba SC ipo sokoni kuangalia silaha za kuondoa aibu kwa msimu ujao na unyonge wa mashabiki wanaoupitia kwa msimu huu, ikidondosha mataji yote, tayari imetua nchini…
Yanga SC, timu kubwa ya Tanzania, inakabiliwa na changamoto kubwa katika harakati zao za kutwaa taji la CAF Confederation Cup. Baada ya kuonyesha matokeo mazuri, Pulse…
Vijana wa Afrika “Yanga” wamekuwa timu ya kwanza kutoka Tanzania katika kipindi cha miaka 30 kufika fainali ya mashindano ya klabu ya bara walipoipiga Marumo Gallants…
Taarifa za kiungo mshambuliaji, Hassan Dilunga kuhusishwa kwenye usajili wa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na JKT Tanzania huenda mambo yakabadilika kwani mchezaji huyo anaweza…
Klabu ya Simba imeanza harakati za kuimarisha kikosi chake na miongoni mwa nyota wanaotajwa kuwa katika mpango wa kuwanasa ni winga wa Geita Gold, Edmund John…