Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: Ligi Kuu | Soka la Bongo
Klabu ya Simba ni mojawapo ya vilabu vikubwa nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Katika kipindi cha hivi karibuni, kumekuwa na mchakato wa kubadilisha muundo…
Mawakala wa soka nchini Tanzania wana jukumu kubwa katika kukuza na kuendeleza vipaji vya wachezaji, kusimamia mikataba, na kushiriki katika mchakato wa kuleta mafanikio katika soka…
Kuna wakati unaweza kujiuliza hivi mashabiki wanataka nini?Maana kila mmoja huwa na kauli zake endapo kutakua ni kipindi kuhusu jambo Fulani. Ukitazama kwasasa macho na masikio…
Kwa miaka ya hivi karibuni kumekua na idadi kubwa ya wachezaji ambao wamekua wakijitokeza na kusema kuwa wana asili ya Tanzania na hivyo kuomba uraia ili…
Nitakuwa tofauti na wengi wanavyoweza kufikiri kwenye hili na hii ni kutokana na kila mtu anavyoweza kutazama haswa kuhusiana na safari ya Jean Baleke na klabu…
Hamu na shauku kubwa ambayo watanzania wengi walikua nayo katika michuano ya mataifa barani Afrika bila shaka ilikua kuitazama timu yao yaani Taifa Stars ambao walikua…
Edwin Balua amejiunga Simba kutoka Tanzania Prisons, huu ni usajili wa mchezaji wa kizawa ambaye anakuwa wa tatu baada ya Karabaka na Chasambu. Usajili huu unakuja…
Mchezo wa mpira wa miguu nchini Tanzania umekua ni moja kati ya kitu ambacho kinawakutanisha watu wengi sana kwa wakati mmoja na kuweza kushuhudia mchezo wenyewe…
Katika ulimwengu wa michezo, kampuni za uzalishaji wa vifaa vya michezo zimekua na jukumu muhimu katika kukuza vipaji na kuimarisha tasnia ya michezo katika nchi mbalimbali.…
Tanzania (Taifa Stars) ni mojawapo ya nchi ambayo imebarikiwa kuwa na vipaji vingi sana vya soka ambavyo tumekua tukivishuhudia miaka na miaka kuanzia kizazi cha kina…