Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: Ligi Kuu | Soka la Bongo
Kwa TFF kutojua wamiliki wa klabu zinazoshiriki mashindano yake ni kitu cha hatari na kinakaribisha zaidi vitendo vinavyoendelea vya klabu kubadilisha umiliki wake kiholela bila ya…
Pamoja na umwamba wake wote timu Al Ahly mbele ya Simba SC haina rekodi ya kutisha ambayo inaweza kumfanya Mnyama Simba awe mnyonge. Takwimu zinazungumza lakini…
Klabu ya soka ya Yanga wanatarajia kushuka Dimbani, Machi 30, 2024 kumenyana na miamba ya soka nchini Afrika Kusini katika mchezo wa robo fainali ya CAFCL…
Maswali ni mengi kwanini inazunguzwa sana mechi ya Yanga SC dhidi ya Mamelodi Sundowns na siyo Simba SC na Al Ahly? Jibu lake ni jepesi sana,…
Kwanza kama Tanzania, tunapaswa kujipongeza kwa ukuaji wa soka letu hakika mpira wetu umekuwa sana tujipige kifua katika hilo. Lakini wanasema kwenye kila ongezeko la maendeleo…
Kwako Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas NdumbaroNdumbaro, Nikiri kuwa nimeisikia kauli yako Mheshimiwa Waziri kuwa haitaruhusiwa kwa mtanzania kuingia na jezi ya…
Kikosi cha Simba SC kimeweka kambi yake Visiwani Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya mchezo dhidi ya Al Ahly ambao ni mchezo wa robo fainali ya…
Pascal Gaundence Msindo Mchezaji kijana kutoka Azam Fc anaeyetokea mji kasoro bahari kwenye milima Ya Uluguru yaani Morogoro, alizaliwa mwezi wa nane tarehe 15 ya Mwaka…
Ni suala la ujirani mwema tu hakuna namna tuwapokee kama ilivyo desturi yetu kwa wageni. Tukiwapokea na kuwapa nafasi washiriki Ligi yetu hii itaendelea kutoa funzo…
Mpendwa Pacome Zouzoua, Natumai barua hii inakukuta ukiwa mzima japokua sijajua unaendeleaje na goti lililokufanya usimalize mchezo dhidi ya Azam Fc lakini natambua unapiga hatua kubwa…