Browsing: Hadithi

Ilipoishia ” Asia akabaki kumtizama tu, bilashaka anakumbuka vitu vingi sana awapo mazingira ya nyumbani.  Naomi nae akawa amefika na kumpatia bahasha ndogo iliyokuwa imeandikwa kwa…

Ilipoishia ” Huku kwa Minii muda huo anazidi kupiga hatua kwa pembeni kidogo aliona Kuna garii inaingia alivyotazama vizuri aliona sura iliyofanana na Nick alifanya kutabasamu…

Ilipoishia ” Minnie alitabasamu tu Kisha alienda kuegama kwenye moja ya nguzo iliokuwa ikiunganisha Kuta yao. “” Haaa hata Sina niwazalo lakini Leo kwenye Darubini ya…

UTANGULIZI Katika maisha mara nyingi ubaya uliowahi kutendeka au kutokea katika familia au jamii mbalimbali umekuwa ukizunguka na kuishi katika vizazi mbalimbali huenda ni Ile utasikia…

Riwaya ya Goryanah

Ilipoishia “Nisamehe kwa yote yaliyotokea! Lakini hakutaharibika kitu! Najua unagopa Bibi atakutafuta! Ila nimewaambia umeenda chuoni utarudi jioni! Na leo utashinda chumbani kwangu halafu jioni nitakutoa…

Riwaya ya Goryanah

Ilipoishia ” Mama alisogea pale Kisha alimkumbatia kwa furaha.    “” Leo ni sherehe yenu! Tumewaandalia part kubwa ya kufurahia afya zenu! Ingia chumbani kwako ujiandae kila…

Riwaya ya Goryanah

Ilipoishia ” Watu wote walipiga kelele huku wakifunga macho! Wasiamini tukio linaloenda kutokea! Ilisikika sauti ya break lakini kwa pembeni kuliruka damu Hadi kwenye gari! Kisha…

Riwaya ya Goryanah

Ilipoishia ” Muda huo Mama Rich alifika pale alitaka kumkumbatia Gorii amuage, lakini Gorii alimgeuzia mgongo hii ikamuumiza Sana! Alijua tayari chuki aliyoisababisha mwanae Sasa imehamia…

Riwaya ya Goryanah

Ilipoishia ” Jolvin alimwangalia, mtu anaeshukuru na anaeomba msamaha kampea mgongo! ” Gorii mtoto mwenye heshima, anae nidhamu, anaheshimu watu wadogo kwa wakubwa! Hii kuongea amekupea…

Riwaya ya Goryanah

Iipoishia ” Alifungua mlango Kisha akarudi kitandani, alimsikia Jolvin akimwelezea Doctor.    “” Ni tumbo la ghafra tu! Limemkamata ameteseka kweli! Nimemkuta kitandani akiweweseka kwa maumivu! Fanya…