Author: Brenda Ulomi

Leicester City wamekubaliana kumsajili kiungo wa kati wa kushambulia kutoka Chelsea, Cesare Casadei, kwa mkopo wa msimu mzima, kulingana na Fabrizio Romano. Mwenye umri wa miaka…

Nemanja Matic Aondoka Roma na Kujiunga na Rennes Nemanja Matic ameondoka Roma baada ya msimu mmoja tu. Jioni ya leo, Mserbia huyu amejiunga rasmi na Rennes…