Author: Kaka Mkubwa

Ilipoishia ” Minnie ikabidi atoke nje akapata muda wa kuongea na Kaka’ke lakini Kaka’ke alimweleza kuhusu Alex mpaka akashangaa kumbuka Nick hakuifahamu kuhusu Minnie kuolewa lakini…

Ilipoishia ” Bright akachombeza baada ya kumuona.    “” Basi wewe ndio Mfalme wangu. Karibu kwenye himaya yangu.” Minnie akazidi kuonesha furaha kwa shemeji yake, Bright akawa…

Ilipoishia ” Minnie ndo kwanza akawapita akisogea mezani nakuanza kumenya nanasi, wakazidi kumtizama jinsi ambavyo hana muda nao, Alexander ikabidi amsogelee karibu akisimama nyuma yake akimuongelea…

Ilipoishia “Minnie ndio akatulia Kuna kitu alikipata hii ikamfahamisha kama picha hii ipo nyumbani kwa white house huenda akifatilia ndio atapata ushahidi kamili wa kumfunga white…

Ilipoishia ” Tobaa!!! Alexander akahisi joto kuongezeka na kujiona mjinga inamaana alishidwa kweli kujiongeza kumzuia Minnie asiondoke wakati ndoa yake ilipitishwa na White House kwa matakwa…

Ilipoishia “Asubuhi Alexander ndio alikuwa wakwanza kuamka kwani baridi la chini lilimuelemea alihisi ni kama yupo ndani ya freezer, aliamka anashangaa kwa pembeni yake juu ya…

Ilipoishia “Alexander akaamua kumuacha Kisha alisogea kwenye stendi ya viatu akanyanyua kiatu kimoja akimtizama Minii.    “” Na Leo tenaa umeenda kinyume na mimi,,, Okay jiandae tushuke…

Ilipoishia ” Minii alijisikia vibaya niaje aliminya Pease alilokuwa akilila kwa kucha zake utazani panya ndio aligusa pale kwa kulidonoa Kisha akalitupa. “” Miniii,,,, unajua gharama…

Ilipoishia “Alienda kufungua Mlango anashangaa kumuona Alexander uso wake unatiririka jasho. “” Wewe pisha bhana mlangoni, halafu funga mlango na akikugongea mtu mlamgo! Mwambie ndo naamka,…

Ilipoishia  “” Sawa, na usitoke kweli, White House imejaa Camera sehemu zote isipokuwa kwenye chumba chenu lakini vyumba vya watumishi vyote vimejaa Camera, hapo inatakiwa uwe…