Author: Kaka Mkubwa

MSALA

Ilipoishia “Mara tulisikia mchakacho kutokea Porini, Elizabeth akaiweka bastola yake sawa kwa ajili ya Usalama, mchakacho ulikua wa taratibu mithiri ya paka mwenye kuwinda, Mapigo yangu…

MSALA

Ilipoishia “Katikati ya Usiku, katikati ya Msitu, Baridi kali lilikua likinipiga, mvuke ulikua ukitoka mdomoni kila nilivyokua nikipumua. Mwili wangu wote ulijawa na tope zito linalonuka,…

MSALA

Ilipoishia “Nilifika mahali nikaamua kujificha maana tayari nilishachoka, nilijibanza nyuma ya Mti mmoja eneo ambalo lilikua limeshona miti midogo midogo iliyojitengeneza kama kichaka ndani ya Msitu…

MSALA

Ilipoishia “Usiniache wataniuwa” Kwanza nilijisaidia nikatoka ndani ya lile gari kisha nikasogea upande wa mlango ambao Elizabeth alikuwepo, nilijaribu kuufungua lakini ulikua umeshajibamiza na mfumo mzima…

MSALA

Naitwa Benjamin Kingai, Mimi ni Rubani wa Ndege za shirika la Air Tornado. Nilikutana na Mkasa kwenye Maisha yangu, Mkasa ambao sitokuja kuusahau hadi naingia kaburini,…

Ilipoishia ” Alexander nikifa,, jamaniii Mimi nakufa leo wakati Bado sijamaliza kazi yangu,, Alexander nakufa jamaniii.. Alexander akabaki kucheka tu inamaana yeye anakufa wakati yeye alimuwekea…

Ilipoishia “Minnie hakujua kama Siri yake imevuja baada ya kumkosa Kaka’ke ilibidi alale tu hana mtu wa kuongea nae sahii. Huku kwa Alexander baada kupata ujumbe…

Ilipoishia ” White House akazidi kucheka lakini kaka alietambulishwa kama Denis alimsukuma kidogo akirudi nyuma. “Aaa!! Sio hivyo Kaka’ngu hapa naenda kufanya kazi ngumu, ya kuua…

Ilipoishia ” Tobaa Alexander ndio akasikia maneno Yale yakamuumiza yaani mke wake alipaswa kuambiwa maneno Yale na mwanaume mwingine akataka kwenda lakini akasita baada ya kusikia…

Ilipoishia ” Baada ya kugeuka Minnie; Alexander akashituka ikabidi alale kwanza ikiwa ni karibu yake Ili afanye kumtizama kwa kumchungulia. Akawa anazisogeza nywele zake zilizomwagika usoni…